Wednesday, 24 June 2015

JAGUER AMTAMANI IRENE UWOYA

Msanii kutoka kenya anayejulikana kwajina la Jagaur afunguka nakusema anamtaka Irene Uwoya msanii wa maigizo kutoka nchini tanzania kwani ni msichana mrembo hivyo akatoa mualiko wakwenda nchini kenya kula bata kwa mlimbwende huyo Irene Uwoya

No comments:

Post a Comment