Msanii Salma Jabu Nisha awaambia mashabiki zake kuwa kuna kitu amewaandalia
hivyo wavute subira. Mwana dada huyo ambaye kwa sasa yupo nchini china
kikazi pia amesema anaumizwa sana na kuona kundi kubwa la vijana
wakimaliza shule na kubaki mtaani bila ya ajira au shughuli ya kufanya
katika kusaidia hilo kampuni yake ya Nisha's Film Production huwa inawapa
nafasi vijana wenye kipaji cha kuigiza ili wapate kuonekana na kupa cast
katika kampuni mbalimbali
No comments:
Post a Comment