
Ile movie ya kibongo inayo fananishwa na ''EXPENDABLE'' inatarajiwa
kutoka mwezi wa nane baada ya watu kuisubiri sana wasambazaji walio
fanikiwa kuisambaza waamua kuiachia movie hiyo iliyo wakusanya wasanii
wakubwa waigizaji pamoja na wanamuziki inayao julikana kwajina la ''WAKE
UP'' akiongea Manaik Sanga ambaye ndio Producer wa Movie hiyo iliyo
tengenezwa katika kampuni yake ya ''MANAIK PRODUCTION'' amesema movie
hiyo imewashirikisha wasanii wengi wakubwa hivyo hata bajeti yake kuwa
kubwa. ''Wasanii wamecheza juu ya kiwango chao hata wale wadogo waliamka
na kufanya vizuri ninachowaomba mashabiki na wapenzi wa movie wasiikose
hii maana watakuwa wamekosa burudani ya kimataifa'' Hayo ni msaneno ya
C.E.O wa Manaik Production.
WAKE UP movie inatarajiwa kuingia sokoni mwezi wanane huu
No comments:
Post a Comment